warden  (@warden_13i) 's Twitter Profile
warden 

@warden_13i

inspiration ||••XAUUSD KILLER||••Forex trading ||•GURU On Network Marketing||

•XAUUSD
▪︎XAGUSD
•BTC
▪︎USOIL
•XPTUSD
▪︎US30USD
📈 📈
@lee_lim3 & @wardenNg

ID: 1456624044111978496

linkhttps://www.warden-technology-coltd.site/ calendar_today05-11-2021 14:07:03

43,43K Tweet

10,10K Followers

9,9K Following

AmosiNyanda (@nyandaamosi) 's Twitter Profile Photo

Ukiona Umeanza Kuwaruhusu Kirahisi Kabisa watu Waondoke Katika Maisha yako iwe Mpenzi Au rafiki Hata Ndugu na Unakuwa na Amani zaidi ukiwa Peke yako—Basi umeshakuwa Mtu HATARI Zaidi! PS: Furaha ya Kweli ipo Kwenye—DETACHMENT!

Masterplan🇹🇿 (@master_plan7) 's Twitter Profile Photo

Kuna Crip Tiktok Mzee Anaongea Kwa Uchungu "Eti Hatukatai Kukaa na Wajukuu Lakini Kila Mtu Awajibike na Watoto Wake Ukiwapeleka Watoto Kwa Bibi/Babu Tuma Pesa Watu Wanatelekeza Watoto Wanazima na Simu.

AmosiNyanda (@nyandaamosi) 's Twitter Profile Photo

Ukifika Umri wa Miaka 40+ ndo Utagundua Huu Ukweli Mchungu: 1). Vile Vitu Vyote Ulivyokuwaga Unavifanya ili Kuwaonesha watu—Hao watu HAWAPOGO! 2). Wale watu ambao ulikuwa Unaogopa Kufanya Jambo Ukihisi Watakuonaje—HAWAPOGO! 3). Nobody Cares about You!

warden  (@warden_13i) 's Twitter Profile Photo

Nataka nianze kupost UPATU Humu et mtanionaje😃😃😀 Ninunue blue tik sasa niwasombe,ni mda sana sijablokiwa na mashikaji

Nataka nianze kupost UPATU Humu et mtanionaje😃😃😀

Ninunue blue tik sasa niwasombe,ni mda sana sijablokiwa na mashikaji
𝚅𝚒𝚌𝚝𝚘𝚛 𝚟𝚒𝚗𝚚𝚞𝚎𝚣🗽 (@vinquez_victor) 's Twitter Profile Photo

Soon nitaanza kuwaonesha namna ufeminist na mataifa kama U.S.A🇺🇲 wanavyoteseka na ufeminist ktk jamii zao kwa sasa na wanapigana kurudi ktk mfumo sahihi Ambao wanawake wa bongo mnaukataa na kujiona mnakwenda na wakati sasa sijui kama mnaenda na wakati kama huko duniani ambako

warden  (@warden_13i) 's Twitter Profile Photo

limited thinking capacity Asilimia kubwa wanaishi kwenye mduara na hakuna anaetaka kutoka nje Ya Mduara aone nje kuna nini.. Wengi wanaamini Pesa za Online ni vitu vya kufikirika,Naweza Kusema Mifumo mibaya Ya Elimu au vijana hawataki kuchosha akili zao. Wanaamin kwenye miujiza.

Farhan Kihamu Jr (@fkihamu) 's Twitter Profile Photo

Tafiti kutoka nchini India zinadai kuwa Miandiko mibovu ya Madaktari imesababisha vifo vya zaidi ya Wagonjwa 7,000 duniani. Kifupi ni kuwa Mfamasia anashindwa kusoma na kuelewa dawa ipi imeandikwa hivyo kuchanganya dawa.

Tito Magoti (@titomagoti) 's Twitter Profile Photo

Freeman, Mwalimu & Mafwele hawawezi kuwa mashahidi wa siri. Hata Samia mwenyewe. Wote wanatakiwa kutoa ushahidi hadharani kila mtu ajue Lissu alifanyaje uhaini. Lissu hatafungwa kwa shuhuda za watu waoga, waovu, washenzi. Tunajua hamkuwa tayari kwa siasa za umma. Tuvumiliane.

warden  (@warden_13i) 's Twitter Profile Photo

Ila matoto ya 2005_07 😄 kwa hyo akina Moore,Puyol,Pepe, Godin,Vidic,Maldini,Baresi,Nesta,Ramos utawalinganisha na akina magwaya?? Ukimtoa mbappe,haaland hakuna mchezaji yoyote yule nasema yoyote yule anaweza kufunga goal zaid ya 20 kwa msimu Kwenye Hizo ERA 2000 Hadi 2015