winharder_ (@winharder_) 's Twitter Profile
winharder_

@winharder_

Entrepreneur/ Teacher/Digital Advocacy officer/ Safe Online Space Diplomat / #SOSDiplomats #UstawiSalamaMtandaoni #RoadSafetyAmbassador/ #YangaSc

ID: 911201550965645313

linkhttp://linkedin.com/in/winharder- calendar_today22-09-2017 12:12:33

188,188K Tweet

16,16K Followers

7,7K Following

#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile Photo

Karibu kwenye #ElimikaWikiendi Xspace ya leo kuanzia muda huu hadi saa 5:00 Asubuhi. Mada kuu: Afya ya akili ni nini? Link: x.com/i/spaces/1OdKrโ€ฆ

Ishengoma Irene (@ishengomairene) 's Twitter Profile Photo

10. Je, wajua kuwa Afya njema ya akili humaanisha afya njema ya mwili?! Hii inathibitishwa na ule msemo wa kila kitu kinaanzia kwenye โ€œMindsetโ€. Usisite kutafuta mwanasaikolojia/mtaalamu wa magonjwa ya akili upate msaada binafsi wa changamoto za afya ya akili. #ElimikaWikiendi

10. Je, wajua kuwa Afya njema ya akili humaanisha afya njema ya mwili?!
Hii inathibitishwa na ule msemo wa kila kitu kinaanzia kwenye โ€œMindsetโ€.

Usisite kutafuta mwanasaikolojia/mtaalamu wa magonjwa ya akili upate msaada binafsi wa changamoto za afya ya akili.
#ElimikaWikiendi
winharder_ (@winharder_) 's Twitter Profile Photo

Afya ya akili kwa vijana inahusisha kujitambua kuwa na uwezo wa kudhibiti hasira,huzuni, hofu na kuwa na kuwa na uwezo wa kufanya maamuzi sahihi wakati sahihi.~|Joachim Mabula #MindyourMind #ElimikaWikiendi

Khoisan (@iamkhoisani) 's Twitter Profile Photo

#ElimikaWikiendi Tafiti Zinaonesha zaidi ya 70% ya Vijana Wanaopitia Changamoto za Afya ya Akili hawatafuti Msaada. Je, nini kinazuia vijana wengi kuchukua hatua? #ElimikaWikiendi

Lucky Msuya Kingker (@lkingker) 's Twitter Profile Photo

Msingi Thabiti Wa Afya Ya Akili Huchangia Viwango Vya Juu Vya Furaha Na Kuridhika Kwa Maisha.Kuna Uwezekano Mkubwa Wa Kupata Hisia Chanya,Kufurahia Matukio Ya Maisha,Na Kupata Furaha Katika Matukio Yako Ya Kila Siku. #mindyourmind #ElimikaWikiendi

#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile Photo

Ustawi wa afya ya akili unaanza na wewe mwenyewe kwa kujijali, uwezo wa kuchanganua mambo bila mkazo, kufurahia maisha na kuepuka mambo yanayoweza kukuongezea mawazo - Given Sam, akizungumza kwenye #ElimikaWikiendi Space

Ustawi wa afya ya akili unaanza na wewe mwenyewe kwa kujijali, uwezo wa kuchanganua mambo bila mkazo, kufurahia maisha na kuepuka mambo yanayoweza kukuongezea mawazo - <a href="/ms_givensam/">Given Sam</a>, akizungumza kwenye #ElimikaWikiendi Space
winharder_ (@winharder_) 's Twitter Profile Photo

Mgonjwa wa akili huwezi kumtambua kwa kumuangalia kwa macho hadi daktari ampime na athibitishe. Hii itasaidia kupunguza unyanyapaa na kuongeza uelewa wa afya ya akili kwa jamii ~|Christian E Alais #ElimikaWikiendi spaces #MindyourMind

#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile Photo

Unapoweka malengo ya juu zaidi kupita uwezo wako unaingia kwenye changamoto ya kuwa na msongo wa mawazo hali inayoathiri afya yako ya akili - Given Sam, akizungumza kwa kwenye #ElimikaWikiendi Space

Unapoweka malengo ya juu zaidi kupita uwezo wako unaingia kwenye changamoto ya kuwa na msongo wa mawazo hali inayoathiri afya yako ya akili - <a href="/ms_givensam/">Given Sam</a>, akizungumza kwa kwenye #ElimikaWikiendi Space
#ElimikaWikiendi (@elimikawikiendi) 's Twitter Profile Photo

Kijana kadri unavyowajali wengine kwa kushirikiana nao, kuwatamkia maneno mazuri unawajenga kiakili na unaimarisha ustawi wako wa afya ya akili - Given Sam, akizungumza kwenye #ElimikaWikiendi Space

Kijana kadri unavyowajali wengine kwa kushirikiana nao, kuwatamkia maneno mazuri unawajenga kiakili na unaimarisha ustawi wako wa afya ya akili - <a href="/ms_givensam/">Given Sam</a>, akizungumza kwenye #ElimikaWikiendi Space
Ms_Genya (@scholadecaprado) 's Twitter Profile Photo

Mgonjwa wa akili huwezi kumtambua kwa kumuangalia kwa macho hadi daktari ampime na athibitishe. Hii itasaidia kupunguza unyanyapaa na kuongeza uelewa wa afya ya akili kwa jamii ~|Christian E Alais #ElimikaWikiendi spaces #MindyourMind

Dira Ya Samia (@dirayasamia) 's Twitter Profile Photo

Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Julai 5, 2025, ameshiriki kama mgeni rasmi katika uzinduzi wa Kanisa la Arise & Shine lililopo Kawe, jijini Dar es Salaam. Hafla hiyo imehudhuriwa na maelfu ya waumini pamoja na viongozi wa dini

Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Julai 5, 2025, ameshiriki kama mgeni rasmi katika uzinduzi wa Kanisa la Arise &amp; Shine lililopo Kawe, jijini Dar es Salaam.

Hafla hiyo imehudhuriwa na maelfu ya waumini pamoja na viongozi wa dini