Holy (@yose_hoza) 's Twitter Profile
Holy

@yose_hoza

Digital Inclusion | Telecommunication Engineer

ID: 3039495909

calendar_today15-02-2015 19:26:56

433,433K Tweet

160,160K Followers

32,32K Following

sylviabay kijangwa (@sylviabayk) 's Twitter Profile Photo

Je, unajua kuwa Sera ya Mambo ya Nje ya Tanzania Toleo la 2024 imeweka vijana katikati ya ajenda ya diplomasia? Kutoka ajira hadi ushiriki wa kimataifa, fursa zimejaa! Twende pamoja kupitia jukwaa la #ElimikaWikiendi kufahamu kwa undani zaidi MFA Tanzania mahmoud Kombo

Je, unajua kuwa Sera ya Mambo ya Nje ya Tanzania Toleo la 2024 imeweka vijana katikati ya ajenda ya diplomasia? Kutoka ajira hadi ushiriki wa kimataifa, fursa zimejaa!
Twende pamoja kupitia jukwaa la #ElimikaWikiendi kufahamu kwa undani zaidi
<a href="/mfa_tanzania/">MFA Tanzania</a> <a href="/mahmoudkombo/">mahmoud Kombo</a>
sylviabay kijangwa (@sylviabayk) 's Twitter Profile Photo

Sera ya Mambo ya Nje 2024 inatutambua vijana kama nguzo muhimu ya uchumi wa kidiplomasia, tukichangia zaidi ya 60% ya nguvu kazi ya taifa. #ElimikaWikiendi MFA Tanzania mahmoud Kombo

sylviabay kijangwa (@sylviabayk) 's Twitter Profile Photo

Sera ya Mambo ya Nje ya Tanzania 2024 inalenga kuongeza uwakilishi wa vijana katika taasisi za kimataifa na kuimarisha ushiriki wetu katika masuala ya kidiplomasia. MFA Tanzania mahmoud Kombo #ElimikaWikiendi

sylviabay kijangwa (@sylviabayk) 's Twitter Profile Photo

Sera mpya ya Mambo ya Nje 2024 inasisitiza umuhimu wa vijana kujihusisha na ujasiriamali wa kimataifa ili kukuza diplomasia ya uchumi. MFA Tanzania #ElimikaWikiendi

sylviabay kijangwa (@sylviabayk) 's Twitter Profile Photo

Kupitia Sera hii, Vijana tunahimizwa kutumia majukwaa ya kimataifa kuwasilisha sauti zetu, kuonesha ujuzi lakini zaidi kuitangaza Tanzania kimataifa kupitia majukwaa hayo. #ElimikaWikiendi MFA Tanzania

sylviabay kijangwa (@sylviabayk) 's Twitter Profile Photo

Sera inasisitiza umuhimu wa ujasiriamali wa vijana kwa kuuza bidhaa za Tanzania kwenye masoko ya SADC, EAC na nchi nyingine nje na ndani ya Afrika. MFA Tanzania mahmoud Kombo #ElimikaWikiendi

sylviabay kijangwa (@sylviabayk) 's Twitter Profile Photo

Tanzania kupitia sera hii, ina mpango wa kuendelea kukuza Kiswahili kimataifa, ikitumia vijana kama walimu, wasanii, na wanadiplomasia wa lugha. mahmoud Kombo MFA Tanzania #ElimikaWikiendi

sylviabay kijangwa (@sylviabayk) 's Twitter Profile Photo

Vijana tunahimizwa kujiunga na mashirika ya kimataifa kupitia nafasi za mafunzo, ubalozi wa wanafunzi, na fellowship za kimataifa. MFA Tanzania mahmoud Kombo #ElimikaWikiendi

sylviabay kijangwa (@sylviabayk) 's Twitter Profile Photo

Sera hii inaendelea kuchochea fursa za vijana kushiriki ktk mipango na mikutano mbalimbali ya kimataifa, ikiwemo midahalo kuhusu mabadiliko ya tabianchi kupitia mikataba ya kimataifa kama UNFCCC na Mkataba wa Vijana wa Umoja wa Afrika #ElimikaWikiendi mahmoud Kombo MFA Tanzania

sylviabay kijangwa (@sylviabayk) 's Twitter Profile Photo

Mapungufu ya Sera ya Mambo ya Nje ya Tanzania 2024 (kwa mujibu wa uchambuzi wangu binafsi) ni haya yafuatayo: (Tweet inayofuata) #ElimikaWikiendi MFA Tanzania mahmoud Kombo

sylviabay kijangwa (@sylviabayk) 's Twitter Profile Photo

1. Ingawa sera inataja vijana kama kundi muhimu, haijaweka mkakati mahsusi ya utekelezaji kwa vijana katika nyanja za diplomasia, biashara ya kimataifa, au uwakilishi wa kimataifa. Inabaki kuwa katika lugha ya jumla #ElimikaWikiendi MFA Tanzania mahmoud Kombo

sylviabay kijangwa (@sylviabayk) 's Twitter Profile Photo

2. Sera inatumia maneno kama "kushirikisha vijana zaidi", "kukuza ubunifu", lakini hakuna viashiria vya kupima mafanikio (KPIs) au muda wa utekelezaji wa hatua hizo. MFA Tanzania mahmoud Kombo #ElimikaWikiendi

sylviabay kijangwa (@sylviabayk) 's Twitter Profile Photo

3. Pamoja na Tanzania kuwa mwanachama wa ICGLR, AU na UN, sera haijaweka wazi nafasi ya vijana katika ujenzi wa amani, mapambano dhidi ya itikadi kali, na usuluhishi wa migogoro. mahmoud Kombo MFA Tanzania #ElimikaWikiendi

sylviabay kijangwa (@sylviabayk) 's Twitter Profile Photo

Nashauri Wizara iandae mkakati wa kuweka viashiria mahsusi vya kupima ushiriki wa vijana (Youth KPI's) katika utekelezaji wa sera ya mambo ya nje, kwa uwazi na uwajibikaji. mahmoud Kombo MFA Tanzania

FELIX JASON (@iamfelixtz) 's Twitter Profile Photo

Simba Sc 🇹🇿 msimu huu wa 2024-25: ❌ Ngao ya Jamii ❌ CAF CC ❌ CRDB Federation Cup ❌ Ngao ya Jamii (Wanawake) ❌ Ligi Kuu (Wanawake) ❌ Samia Cup (Wanawake) ⏳ Kombe lililobaki ni NBC PL.

Simba Sc 🇹🇿 msimu huu wa 2024-25:

❌ Ngao ya Jamii 
❌ CAF CC
❌ CRDB Federation Cup
❌ Ngao ya Jamii (Wanawake)
❌ Ligi Kuu (Wanawake)
❌ Samia Cup (Wanawake)

⏳ Kombe lililobaki ni NBC PL.