Zingibermc (@zingibermc) 's Twitter Profile
Zingibermc

@zingibermc

👉youtu.be/Ga2zWhwq9Mc

ID: 1520298778066104320

calendar_today30-04-2022 07:07:59

15,15K Tweet

182 Followers

319 Following

(---) Onesmo Mushi (@edutalktz) 's Twitter Profile Photo

DIRA YA MAENDELEO ISIYOKUWA NA NIA YA MAENDELEO. Dira yetu ya maendeleo inalenga kwamba mpaka kufikia mwaka 2050, kila mtanzania awe anaingiza shilingi milioni 18 kwa mwaka. Wakati huo huo kiongozi anayeisoma hii dira leo mwaka 2025 anaendesha gari ya milioni 500+

Zingibermc (@zingibermc) 's Twitter Profile Photo

Ndugu zetu Police Force TZ mnaweza kufunga mikutano (ofcoz siwalaumu mana nitawaonea katika hili) lakini hamuwezi kuzuia kiu ya mabadiliko iliyopo miongoni mwa raia huku mtaani. Madam Samia Suluhu hii haitakusaidia wewe kupingwa Kwa hasira kali. Hatudai mauji Bali HAKI KATIKA TAIFA LETU.

Ndugu zetu <a href="/tanpol/">Police Force TZ</a> mnaweza kufunga mikutano (ofcoz siwalaumu mana nitawaonea katika hili) lakini hamuwezi kuzuia kiu ya mabadiliko iliyopo miongoni mwa raia huku mtaani. Madam <a href="/SuluhuSamia/">Samia Suluhu</a> hii haitakusaidia wewe kupingwa Kwa hasira kali. Hatudai mauji Bali HAKI KATIKA TAIFA LETU.
Mhere mwita (@mheremwita_) 's Twitter Profile Photo

Mwenyekiti wa Bavicha jimbo la Geita vijijini, Bw Mbeshi Paulo Ametekwa, Jana ilikuja Gari yeye akiwa na Pikipiki wakatoka watu kwenye Gari na kumchukua haraka haraka na kumuingiza kwenye Gari mpaka Sasa hajulikani alipo, anasema shuhuda wa tukio.

Mwenyekiti wa Bavicha jimbo la Geita vijijini, Bw Mbeshi  Paulo Ametekwa, Jana ilikuja  Gari yeye akiwa na Pikipiki wakatoka watu kwenye Gari na kumchukua  haraka haraka na kumuingiza kwenye Gari mpaka Sasa hajulikani alipo, anasema shuhuda wa tukio.
Kumbusho Dawson Kagine (@kumbushodawson) 's Twitter Profile Photo

Tundu Antiphas Lissu ni mfano halisi wa ujasiri na uanaharakati wa kweli. Ametanguliza haki, uwazi na utawala wa sheria licha ya vitisho, na mateso. Ktk mapambano yake dhidi ya mifumo kandamizi, hajawahi kuyumbishwa. Sauti yake ni mwanga wa matumaini kwa watetezi wa demokrasia na haki.

Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) 's Twitter Profile Photo

Mh Rais wetu Mstaafu Jakaya Kikwete. Uongozi wa kweli haujengwi juu ya ndoto za kifamilia, bali juu ya msingi wa haki, utu na ujasiri wa kusema ukweli hata pale ambapo ukimya ni salama zaidi. Leo hii Tanzania inalia. Tundu Lissu, aliyenusurika kuuawa kwa risasi akiwa mpinzani

Mh Rais wetu Mstaafu Jakaya Kikwete. Uongozi wa kweli haujengwi juu ya ndoto za kifamilia, bali juu ya msingi wa haki, utu na ujasiri wa kusema ukweli hata pale ambapo ukimya ni salama zaidi. Leo hii Tanzania inalia. Tundu Lissu, aliyenusurika kuuawa kwa risasi akiwa mpinzani
Boniface Jacob (@exmayorubungo) 's Twitter Profile Photo

NI ZAMU YA VYOMBO VYA HABARI..? Waandishi wa habari nguli na maarufu wa radio na TV maarufu hapa Jijini Dar es Salaam wamefungiwa na Bodi ya ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) kutangaza au kufanya kazi ya uandishi wa Habari kwa kile kinachoitwa "kushindwa kujisajili katika

NI ZAMU YA VYOMBO VYA HABARI..?

Waandishi wa habari nguli na maarufu wa radio na TV maarufu hapa Jijini Dar es Salaam wamefungiwa na Bodi ya ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB)  kutangaza au kufanya kazi ya uandishi wa Habari kwa kile kinachoitwa "kushindwa kujisajili katika
M A G I R I (@kiganyi_) 's Twitter Profile Photo

Idk, kila nikimsikiliza Heche siku hizi nasikia anazungumza kama mtu aliyebeba dhamana kubwa sana. Bro is going to be a very serious force kwenye siasa za nchi hii.

Boniface Jacob (@exmayorubungo) 's Twitter Profile Photo

BALILE NI MWANDISHI AU DOLA..? MASWALI KUMI (12) KWA BALILE. 1.Balile anawezaje kugeuka kuwa mchomaji wa waandishi wenzake wa Habari..? 2.Balile aliyefundishwa kujifundisha na kukosoa jamii anachukiaje akiona mwandishi anakosa taaluma ya Uandishi wa Habari? 3.Balile anawezaje

John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Tangu Mwenyekiti wetu wa vijana Geita achukuliwe leo ni siku karibia ya 7. Jeshi la polisi liko kimya, hawa ndio wana jukumu la kulinda raia na mali zao.. jeshi la polisi chini ha Wambura limekua jeshi la ajabu kabisa. Nani atawaamini hawa watu ambao kila siku watu wanapotea na

Boniface Jacob (@exmayorubungo) 's Twitter Profile Photo

RAIA WA KENYA ATEKWA DAR ES SALAAM....! Raia wa Kenya Bwana Mwabili Mwagodi ambaye pia ni mfanyakazi wa AMANI BEACH HOTEL iliyopo wilaya ya Kigamboni jijini Dar es salaam ametekwa na watu wasiojulikana usiku wa tarehe 23 July 2025. Kwa mujibu wa Dereva wa pikipiki iliyo

RAIA WA KENYA ATEKWA DAR ES SALAAM....!

Raia wa Kenya  Bwana Mwabili Mwagodi  ambaye pia ni mfanyakazi wa  AMANI BEACH HOTEL iliyopo wilaya ya Kigamboni jijini Dar es salaam ametekwa na  watu wasiojulikana usiku wa tarehe 23 July 2025.

Kwa mujibu wa Dereva wa pikipiki iliyo
Godbless E.J. Lema (@godbless_lema) 's Twitter Profile Photo

Mkipanda bangi, msitarajie kuvuna mahindi.Kila mnapoharibu demokrasia, mnaharibu chama, mnalivuruga taifa, na mnajivunjia heshima wenyewe. Huu si mkutano wa kidigitali maana wajumbe wa NEC wote wameitwa Dodoma, huku wajumbe wa Mkutano Mkuu mkiwekwa mbele ya TV screen kama

Mkipanda bangi, msitarajie kuvuna mahindi.Kila mnapoharibu demokrasia, mnaharibu chama, mnalivuruga taifa, na mnajivunjia heshima wenyewe.
Huu si mkutano wa kidigitali maana wajumbe wa NEC wote wameitwa Dodoma, huku wajumbe wa Mkutano Mkuu mkiwekwa mbele ya TV screen kama
Hilda Newton (@hildanewton21) 's Twitter Profile Photo

Habari za muda huu Wapendwa, Ndugu zangu anayeonekana hapa Anaitwa Julius Anael Mwanga wa Masama sonu. Ndugu yetu huyu ameondoka nyumbani kwake siku ya Jumanne tar 22.07.2025 na hadi sasa hajarudi nyumbani na wala hajulikani Alipo. Tunawaomba yeyote atakayemuona popote atoe

Habari za muda huu Wapendwa, 

Ndugu zangu anayeonekana hapa Anaitwa Julius Anael Mwanga wa Masama sonu.

Ndugu yetu huyu ameondoka nyumbani kwake siku ya Jumanne tar 22.07.2025 na hadi sasa hajarudi nyumbani na wala hajulikani Alipo. Tunawaomba yeyote atakayemuona popote atoe
John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Chama chetu kimeonya na kutaka tume ya uchaguzi, rais Samia na serikali yake walete utulivu kwenye Nchi. Kwa kuhakikisha wanafanya mabadiliko ili kuwepo uchaguzi huru, haki na jumuishi. Rais Samia na serikali yake wanapuuza wito huu wa chama pekee chenye nguvu na watu.

John Heche (@hechejohn) 's Twitter Profile Photo

Kwa wale ambao hawajasaini petition ya #NoReformsNoElection tumeiweka online kila mtu anaweza kusaini. Tutafanya majumuisho waliosaini manual na online na kutoa matoke na pia kuchukua hatua zaidi.