BETRI LA SIMU YAKO LIWE IMARA NA LIDUMU KWA MUDA MREFU.
🗨️Punguza mwangaza wa skrini
🗨️Zima data, Wi-Fi, Bluetooth usipotumia
🗨️Funga apps zisizotumika
🗨️Epuka kutumia simu ukiichaji
🗨️Tumia chaja original
🗨️Weka saver mode
Ongeza nyingine tuendelee kujifunza...
Miongoni mwa matoleo bora sana ya iPhone series ni hii iPhone 13 Plain...
Inapatikana kwa 870K tu
Kwa Mwanza ni free delivery popote pale ulipo ndani ya jiji la Mwanza.
+255747151944 Njoo tuongee Business.
Wanangu kuna hii tabia ukipanda dala dala Kuna watu either wawili au watatu wanapiga stori kwa nguvu kinomaa! Yaani unakuta watu wote wapo kimya kuwasikiliza wao tu😀
Naona kama ushambaa yani, wanataka engagements😀
Hii tabia ni sidhani kama ipo sawa😀🙌
#NAWASILISHA.
Ukiachana na...
🎯Arsenal kutwaa ubingwa EPL
🎯Tundu lisu kuwa raisi
🎯Simba sc kuwa bingwa Africa
🎯Harmonize kupita na Grammy
unaona tukio gani lingine litatokea kati ya mwaka2025-2026...😉😎??
Neno “naendelea kupambana” lina nguvu sana — maana yake bado hujakata tamaa, na hiyo ni hatua kubwa kuliko inavyosikika. 💪
Maisha huwa hayanyooki kila siku, lakini wapiganaji kama wewe ndio huishia kufika mbali. Changamoto hizi unazopitia leo zinaweza kuwa ngazi ya kesho.