
SIASA SAFI (Nyegere Wa Afrika/Honey badger)
@ikindakani11826
Ex_soldier 825code (2017_2020),it's doesn't matter what you know but whom you know??
ID: 1805289848204353538
24-06-2024 17:20:56
2,2K Tweet
1,1K Followers
7,7K Following

"๐จ๐ป๐ฎ๐ท๐ถ๐๐ถ ๐๐ฎ ๐๐ต๐ฒ๐ฟ๐ถ๐ฎ ๐ต๐๐๐ผ๐ธ๐ฒ๐ฎ ๐ฝ๐ฎ๐น๐ฒ ๐ฎ๐บ๐ฏ๐ฎ๐ฝ๐ผ ๐บ๐ฎ๐ต๐ฎ๐ธ๐ถ๐บ๐ & ๐บ๐ฎ๐ท๐ฎ๐ท๐ถ, ๐ธ๐๐ท๐ถ๐๐ฒ๐ธ๐ฎ ๐บ๐ถ๐ธ๐ผ๐ป๐ผ๐ป๐ถ ๐บ๐๐ฎ ๐๐ฎ๐๐ฎ๐๐ฎ๐น๐ฎ ๐ป๐ฎ ๐ธ๐๐ฎ๐บ๐ถ๐ป๐ถ ๐๐ฎ๐๐ฎ๐๐ฎ๐น๐ฎ ๐๐ฎ๐ป๐ฎ ๐ป๐ด๐๐๐ ๐ธ๐๐น๐ถ๐ธ๐ผ ๐๐ต๐ฒ๐ฟ๐ถ๐ฎ". - Lamar Smith.


Utekaji na ukamataji holela wa wapinzani hauwezi kutunyamazisha kupaza sauti kwa unyama huu uliofanywa na polisi Police Force TZ . Mateso ambayo polisi mnatupa ni ya muda tu kwa kuwa mwaka huu kuna mabadiliko makubwa ya kiserikali. Tutakuwa na serikali mpya na kila askari kuanzia ngazi


Jeshi la polisi Police Force TZ limekaa kishabiki sana. Ukisoma hii press release waliyoitoa kwa umma wanadai father Kitima ameshambuliwa akiwa anapata kinywaji. Kantini hiyo ya TEC kuna vyakula pia lakini kwanini wameandika alienda kupata kinywaji na sio chakula? Lengo lao ni nini hapa?


Kama polisi wanapotosha ni wazi kwamba wamepata taarifa hii kupitia chanzo kingine na sio kanisa ambalo lilikuwa na watu katika ofisi hizo za TEC. Sasa Muliro na Police Force TZ mtuambie taarifa za father Kitima kupata kinywaji na kwenda maliwato mmezitoa wapi? Je chanzo chenu




Nimemisi makamanda wangu sana, kwakweli CHADEMA NI IMANI โค๏ธ ๐ Makamanda tusikate tamaa, tupambane na MaCCM kiulalo ulalo. Hadi sasa yamechanganyikiwa๐คฃ follow ๐ CHADEMA NI IMANIโค๏ธ(Nyegere Wa Afrika/Honey badger)





"Turbulence isn't for the weak "... Haitakuwa rahisi lakini tutashinda. Makamu wetu Mwenyekiti John Heche ameshika usukani kwa umahiri mkubwa sana. TUKO SALAMA. #NOREFORMNOELECTION



Tuna taarifa za ndani kutoka kwa viongozi wa dini hususa Maaskofu kwamba kikosi kazi maalumu kimeundwa kwa ajili ya kuwashawishi ili wahamasishe wananchi kushiriki uchaguzi. Kwa heshima tunawaomba Maaskofu wetu wasikubali. Viongozi ni daraja la kwenda kwa Mungu. Zacharia Thomas Obad




